Recomienda este artículo a tus amigos:
Dimbwi la Damu Ben R Mtobwa
Dimbwi la Damu
Ben R Mtobwa
Alipoamua kwenda Kigoma, Joram Kiango alitarajia kupumzika, akiburudishwa na mandhari murua ya Ziwa Tanganyika lakini haikuwa hivyo. Likizo yake ilibadilika ghafla huku maisha yake yakiingia katika utata mkubwa.
Katika jitihada za kutatua utata huo, Joram Kiango anakabiliana uso kwa uso na mjumbe wa mauti, mwenye kiu kali cha damu na anayesheheni silaha zote. Mjumbe ambaye yuko tayari kwa lolote; tayari kufa, tayari kuua...
| Medios de comunicación | Libros Paperback Book (Libro con tapa blanda y lomo encolado) |
| Publicado | 16 de mayo de 1984 |
| ISBN13 | 9789966561541 |
| Editores | East African Educational Publishers |
| Páginas | 104 |
| Dimensiones | 127 × 178 × 7 mm · 86 g |
| Lengua | Swahili |
Mas por Ben R Mtobwa
Mostrar todoMere med samme udgiver
Ver todo de Ben R Mtobwa ( Ej. Paperback Book )