Recomienda este artículo a tus amigos:
Kumtumaini Yesu Jr Christopher Mwashinga
Kumtumaini Yesu
Jr Christopher Mwashinga
Kitabu hiki, Kumtumaini Yesu, ni mkusanyiko wa mahubiri ya kusisimua yanayochochea matumaini, faraja na ukuaji kiroho kwa kila mtu--mkubwa na mdogo. Hotuba hizi za pekee zilizobadilisha maisha ya watu wengi Afrika na Amerika ya Kaskazini zimejengwa katika Biblia, Agano Jipya. Msomaji anapozisoma atapata muonjo wa kile ambacho kiliwafanya maelfu ya watu waliomsikiliza Mchungaji Christopher Mwashinga akihubiri wafurike kumsikiliza. Ni matumaini yetu kwamba msomaji atapata uzoefu mpya kabisa asomapo mahubiri haya na kufurahia utamu wa Neno la Mungu liwaongozao wanadamu katika kumjua Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo aliyemtuma (Yoh. 17:3).
| Medios de comunicación | Libros Paperback Book (Libro con tapa blanda y lomo encolado) |
| Publicado | 18 de junio de 2020 |
| ISBN13 | 9798664536096 |
| Páginas | 206 |
| Dimensiones | 152 × 229 × 12 mm · 308 g |
| Lengua | Inglés |
Mas por Jr Christopher Mwashinga
Mostrar todoVer todo de Jr Christopher Mwashinga ( Ej. Paperback Book )